Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Chelsea wamekamilisha dili la kumsajili kiungo wa Leicester City Ng'olo Kante kwa mkataba wa miaka mitano  kwa dau la £36.


Kocha wa Timu hiyo claudio Ranieri anatamani kumbakisha kiungo huyo lakini dau walilopeleka Chelsea linamridhisha kiungo huyo.
Kiungo huyo Bado kutua katika jiji la london ili kuanza kazi baada ya kukamilisha vipimo.

Thanks For Visiting, Our Website Come Again For News, Advertisement And Good Articles

Keep This blog site In Your Mobile For More Updates

Facebook Blogger Plugin by Tanzaniastar
https://www.facebook.com/Tanzaniastar

Post a Comment

 
Top